MGOMBEA URAIS WA ACT-WAZALENDO HUYU HAPA,NI YULE WA TIMU LOWASSA,SOMA HAPO KUJUA



Pichani ni Profesa Kitila Mkumbo

HATIMAYE chama cha ACT-waza lendo kimemtangaza Profesa kitala Mkumbo kuwa mgombe wa Urais ndani ya Chama hicho kwenye uchaguzi mkuu wa hapo baadae mwaka huu.Anaandika KAROLI VINSENT endelea nayo.
Vilevile pia chama hicho kimemtangaza Bi Haula Shamte kuwa mgombea mwenzi nafasi yaUrais.

Akitanga umamuzi huo leo Jijini Dar es Es Salaam,Katibu mkuu wa ACT-Wazalendo Samson Mwigamba wakati alipokuwa anachukua fomu ya Urais katika Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC Jijini dare s Salaama ambapo amesema kwa sasa chama hicho kimempendekeza Profesa Mkumbo kuwa mgombea wa Urais.
“Jumamosi Kamati kuu ya ACT-wazalendo kwa kauli moja tukafikia uamuzi wa kumteua Profesa 

Kiitala Mkumbo pamoja na Bi Shamte kuwa wagombea wetu wa juu ila ingawa kwa profesa kitila bado hajalizia uamuzi wetu ila tunaimani atalidhia baada ya mazungumzo yetu ya kina”Amesema Mwigamba.

Mwigamba ameongeza kuwa sababu ya Kamati ya ACT-wazalendo kumteua profesa Mkumbo inatokana na mchango wake ndani ya Chama hicho ,ikiwemo kushiriki katika kutengeneza irani ya chama hicho pamoja na kuwepo katika Kamati ya Uchaguzi na sera.
Mwanasiasa huyo machachari amebainisha kuwa chama hicho kimejipanga kushinda katika uchaguzi huo mkuu unaotarajia kufanyika octoba 25 mwaka huu kwa madai ya kuwa wagombea wote waliosimamishwa na vyama vingine wanakashfa ya kubwa ya ufisadi huku akimtaja Mgombea wa Urais wa CCM John Magufuli kuwa ni miongoni mwa wanasiasa wenye kashfa kubwa.

KUHUSU MADAI YA PROFESA LIPUMBA KUHAMIA ACT
Mwigamba akusita kuzungumzia uvumi uliokuwa unaenezwa kwenye mitandao ya Kijamii kuwa Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahimu Lipumba alitazamiwa kugombea nafasi ya Urais ndani ya ACT-Wazalendo ambao Mwigamba amesema taarifa hizo ni za kutunga kwani chama hicho,
Hakijampokea Profesa Lipumba lakini amedai chama hicho kitampokea kila mwanachama yoyote ambaye atafuata Sera na miongozo ya Chama cha ACT-Wazalendo.
VIJEMBE
Katibu huyo wa ACT alikitumia lawama tume ya Uchuguzi nchini NEC kwa kitendo chake cha kumfumbia macho Magufuli kwa kitendo chake anachodai cha kufanya kampeni kabla ya mda kuanza .
.UTATA WA KITILA MKUMBO
utata unazidi ibuka kwa mgombea huyo ambaye hapo awali alikuwa katika mipango ya kuhakikisha Edward lowassa anapita ndani ya CCM kwenye nafasi ya Urais,
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment