Barakah ameiambia Planet Bongo ya EA Radio, kuwa hakuna nyimbo yake hata moja ambayo haijafanya vizuri.
“Ukiona nyimbo yangu iliyosuasua, yaani kila kitu ni airtime, hakunaga kitu kibaya kwa watanzania, kitu wanachokisikia ndio kitu wanachokizoea na kukipenda,” amesema. “Kwahiyo mimi naamini sina nyimbo mbaya, nyimbo zangu zote kali na hata kama nikiandika mwenyewe na nyimbo nyingi huwa naandika mwenyewe,” alisisitiza.
0 comments:
Post a Comment