Wawili hao wameshare picha kwenye akaunti zao za Instagram na kuelezea kile kinachowezekana kuwa ni ujio wa collabo yao.
“Throwback hanging out with the talented @iambenpol…we just might have a surprise for you. #255 #254,” ameandika Avril.
Naye Ben ameandika: #throwback with @theavieway #avril ..unaonaje mimi na Avril tukiingia Studio na kuimba wimbo pamoja?, hmm I guess itakuwa wimbo mtamu sana kissing_smiling_eyes, we unaonaje? Maoni mengi yakiwa positive Nitamuomba Avril tufanye.”
Sio mara ya kwanza kwa Avril kufanya collabo na wasanii wa Tanzania. Amewahi kufanya wimbo na AY na Ommy Dimpoz.
0 comments:
Post a Comment