Ben Pol na Avril wa Kenya kuja na collabo!

Ben Pol na muimbaji mrembo wa Kenya, Avril huenda wakaingia ama tayari wameingia studio kurekodi ngoma ya pamoja.

11850297_1687312674817417_1623856535_n


Wawili hao wameshare picha kwenye akaunti zao za Instagram na kuelezea kile kinachowezekana kuwa ni ujio wa collabo yao.
“Throwback hanging out with the talented @iambenpol…we just might have a surprise for you. #255 #254,” ameandika Avril.
Naye Ben ameandika: #throwback with @theavieway #avril ..unaonaje mimi na Avril tukiingia Studio na kuimba wimbo pamoja?, hmm I guess itakuwa wimbo mtamu sana kissing_smiling_eyes, we unaonaje? Maoni mengi yakiwa positive Nitamuomba Avril tufanye.”
Sio mara ya kwanza kwa Avril kufanya collabo na wasanii wa Tanzania. Amewahi kufanya wimbo na AY na Ommy Dimpoz.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment