Mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata ameteuliwa na wizara ya Maliasili na Utalii kuwa balozi wa utalii wa Tanzania kwenye jimbo la New York, nchini Marekani.
Flaviana alitambulishwa jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Adelhelm Meru.
Kwa kipindi kirefu sasa Flaviana amekuwa akiishi jijini New York ambako hufanya ya mitindo.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment