Hawa ni wasanii wa Tanzania watakaotumbuiza kwenye tamasha la Africa On The Square jijini London




Tamasha la mara pili la kila mwaka, Africa On The Square linatarajiwa kufanyika October 10 na kukutanisha wasanii kutoka Tanzania, Ghana na Senegal.



Tamasha hilo lililoanzishwa mwaka jana na kuvutia watazamaji zaidi ya 20,000, litafanyika Trafalgar Square jijini London, Uingereza.

Pamoja na muziki wa Kiafrika utakaochezwa live, kutakuwepo pia na Madj, dancers, chakula na mambo mengine.
Wasanii wa Tanzania watakaotumbuiza ni Saidi Kanda na Mvula Mandondo watakaotumbuiza muziki wa Kitanzania wenye asili ya kimanyema na kindengeleko.



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment