Rapper Kanye West na mkewe Kim Kardashian ambaye ni mjamzito wanatarajia kumpokea mdogo wake na North siku ya Christmas, ambapo Kim ndio anatarajia kujifungua.
Kwa mujibu wa TMZ, Kim K anatarajia kujifungua mtoto wake wa pili Dec. 25. Vyanzo vya karibu vimedia kuwa couple hiyo tayari ime ‘book’ Deluxe Maternity Suite kwenye hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center iliyoko L.A, Marekani.
Hiyo ndio hospitali ambapo mtoto wao wa kwanza North West mwenye miaka miwili sasa pia alizaliwa.
Hivi karibuni Kim K kupitia Twitter alitangaza kuwa anatarajia kupata mtoto wa kiume.
Hiyo ndio hospitali ambapo mtoto wao wa kwanza North West mwenye miaka miwili sasa pia alizaliwa.
Hivi karibuni Kim K kupitia Twitter alitangaza kuwa anatarajia kupata mtoto wa kiume.
0 comments:
Post a Comment