Usiku wa September 15 ni siku ambayo
ilipigwa michezo kadhaa ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya,
michezo hiyo ilimalizika kwa vilabu kadhaa kuibuka na ushindi hivyo ni
furaha kwa mashabiki wa timu zilizoshinda. Nakusogezea video za magoli
ya mechi kadhaa zilizopigwa September 15.
PSV Eindhoven 2-1 Manchester United
Manchester City 1-2 Juventus
Real Madrid Vs Shaktar Donetsk
Galatasaray Vs Atletico Madrid
0 comments:
Post a Comment