Nahreel adai mwaka 2015 amepata mafanikio makubwa


Nahreal  akiwa mwenye furaha na wenzake

Nahreel ameiambia Bongo5 kuwa mwaka huu ni mwaka ambao amekuwa busy na kazi nyingi kuliko wakati uliopita.
“Demand ya mimi kuproduce wasanii imekuwa kubwa sana, tena sana, kupita hata maelezo,” amesema.
“Nimekuwa nikifanya kazi kwa muda mrefu zaidi hata ya kipindi cha nyuma. Mwaka huu umekuwa ni mwaka wa mafanikio kwangu na umeniweka katika nafasi nzuri sana. Kazi zangu nyingi nilizotayarisha zimefanya vizuri katika tuzo mbalimbali za kimataifa. Ngoma zinachezwa katika vituo vikubwa, hii ni kutokana na juhudi ninayoiweka katika kazi zangu,” aliongeza Nahreel.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment