Hussein Machozi adai kukosa management kumemrudisha nyuma

Hussein Machozi amewataka mashabiki wake kujua kuwa tatizo linalomkwamisha kupiga hatua zaidi katika muziki wake ni kukosa management.
11887107_489827214528874_218821705_n

Akizungumza kwenye kipindi cha FNL cha EATV, Hussein alisema nguvu yake binafsi anayotumia ndio imeishia hapo alipo sasa.
“Watanzania wanataka ukitoa ngoma na ukiki jumla. Kumbuka kwamba nilipokuwa nikifanya vile nilikuwa kwenye management na sasa hivi nafanya mwenyewe kama mwenyewe. Kwahiyo mimi nguvu yangu mimi mwenyewe mtu mmoja kama mmoja ndio imesababisha kufika hapa nilipo. Labda wanishauri nitafute management au mtu anayejua kufuatilia muziki anisaidie lakini sio kublame na vitu kama hivyo.”


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment