LOWASSA 'Aitikisa Tena Dar...KIBAMBA Yatapika People's.....Wamwambia 'ULIPO TUPO'






Mh. Lowassa na viongozi wengine wa UKAWA, wakiwa jukwaani mbele ya umati wa watu

Wananchi wakionyesha alama ya mabadiliko inayotumiwa hivi sasa na UKAWA

Mh. Lowassa, na Mwenyekitin wa CHADEMA, Mh. Mbowe, wakiwasili kwenye eneo la mkutano huko Kibamba




Mgombea kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia vyama vinavyounda UKAWA, Mh. Edward Lowassa, leo tena amelitikisa jiji la Dar es Salaam, hususan maeneo ya Kibamba kulikofanyika mkutano wa kihistoria wa kampeni ambapo maefu ya wananchi walifurika wengine wakikaa juu ya mapaa ya nyumba za madarasa, wengine kwenye miti, kutokana na kukosa eneo zuri la kuweza kushuhudia "live" mkutanonukiendelea. Changamoto ya maeneo ya kufanyia mikutano ya kampeni ndiyo inayoonekana kuikumba UKAWA, kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu wanaohudhuria mikutano hiyo. Pichani mfuasi wa UKAWA, akiwa amejichora rangi za bendera ya CHADEMA akiambatanisha maneno maarufu yanayotumiwa na wafuasi wa Mh. Lowassa kwa sasa, yaani "Ulipo tupo".







Mh. Lowassa, akimnadi mgombea ubunge jimbo la Kibamba, John Mnyika.(Picha zote na Othman Michuzi)






Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment