Majina ya waandishi wa habari walioingia fainali yametangazwa (Sept 14) .
Mr Abubakari Akida Mussa wa gazeti la Mtanzania ndiye mwandishi wa habari pekee wa Tanzania aliyeingia kwenye kinyang’anyiro hicho.
Kenya inawakilishwa na waandishi wanne na Uganda wawili. Jumla ya waandishi 31 kutoka nchi 15 wamefanikiwa kuingia kwenye fainali hizo.
Hii ni orodha ya waandishi walioingia fainali:
1. Fiifi Essilfie Anaman, Freelance for zonalsports.com, Ghana
2. Benedicta Asiimwe, Freelance for Daily Monitor, Uganda
3. Femi Asu, Punch Newspaper, Nigeria
4. Domingos Bento, redeangola.info, Angola
5. Thomas Naadi Bitlegma, Viasat1, Ghana
6. Sheriff Bojang Jnr, Freelance for West Africa Democracy Radio, Senegal
7. Ruth Butaumocho, The Herald, Zimbabwe
8. Ibrahima Diallo, Radiodiffusion Télévision Sénégalaise (RTS), Senegal
9. Adewale Olugbenga Emosu, tribuneonlineng.com, Nigeria
10. Chahinaz Samir Gheith, Freelance for Al-Ahram Hebdo, Egypt
11. Carla Gonçalves, A Nação, Cape Verde
12. Boldwill Hungwe, Zimbabwe Independent, Zimbabwe
13. Ibanga Isine, Premium Times Newspaper, Nigeria
14. Paul Kelemba, Freelance for The Standard on Saturday, Kenya
15. Deo Gratias Tchédé Kindoho, Radio Bénin, Benin
16. Julie Laurenz & Jacqueline Jayamaha, Freelance for e.tv, South Africa
17. Petride Mudoola, Freelance for Sunday Vision, Uganda
18. Abubakari Akida Mussa, Mtanzania Newspaper, Tanzania
19. Pedro Paxi Pereira Ndoma, TV Zimbo, Angola
20. George Oduor Otieno, Baraka FM, Kenya
21. Hyacinthe Boowurosigue Sanou, L’Observateur Paalga, Burkina Faso
22. Enock Sikolia & Charles Kariuki, NTV, Kenya
23. Arison Tamfu, Cameroon Journal, Cameroon
24. Kọ́lá Túbọ̀sún, Blogger at ktravula.com, Nigeria
25. Arukaino Umukoro, Punch Newspaper, Nigeria
26. Bento Venâncio, Jornal Domingo, Mozambique
27. Herman Verwey, Beeld, South Africa
28. Kiundu Waweru, The Standard on Saturday, Kenya
29. Sarah Wild, Mail & Guardian, South Africa
Source: CNN
0 comments:
Post a Comment