DJ Arafat wa Ivory Coast ndiye nominee wa tano anayeungana na Diamond platnumz (Tanzania), Davido (Nigeria), Yemi Alade (Nigeria) na AKA (South Africa) kwenye kipengele hicho cha ‘Best African Act’.
MTV walitoa majina ya wasanii watano ili wapigiwe kura Twitter kupata nafasi ya kuwa nominee wa tano wa kipengele hicho kwa mwaka huu. Wasanii ambao walichuana na DJ Arafat kupata nafasi hiyo ni Wizkid (Nigeria), Cassper Nyovest (South Africa) ambaye aliomba kuondolewa, K.O (South Africa) na Stonebwoy (Ghana).
Ili kumpigia kura Diamond aweze kushinda kipengele cha ‘Best African Act’
2015 MTV EMA’s zitafanyika October 25, 2015 jijini Milan, Italy.
0 comments:
Post a Comment