Michuano ya UEFA Champions League imeanza usiku wa Jumanne Sep 15, katika viwanja mbalimbali barani Ulaya. Baadhi ya timu zimefanikiwa kuibuka na ushindi huku nyingine zikiwa zimefungwa na pia kukiwa hakuna hata mechi moja iliyomalizika kwa sare.
Haya ndio matokeo ya michezo zote kwa ujumla wake.
0 comments:
Post a Comment