Ngoma ya mwisho ya FA ilikuwa ni ile aliyomshirikisha Alikiba, Kiboko Yangu iliyompa tuzo ya KTMA 2015.
FA amepost picha akiwa studio na P-Funk Majani hali inayoashiria kuwa ngoma ijayo itatoka Bongo Records.
“So guess what…..? cc @majani187,” aliandika FA kwenye picha hiyo.
0 comments:
Post a Comment