Steve ameiambia E-Newz ya EATV kuwa Tanzania kumekuwa na upungufu wa wasanii wa muziki huo.
“Ni msanii mpya anayeitwa Credo. Hii tuseme ni new product kama vile Steve R&B, anafanya support watu wanaofanya R&B. Kwahiyo mimi kama mimi muda wote nilivyokuwa kimya I just support new artist. Kwahiyo hii ndio first project kwa sababu pia nimeona wasanii wa R&B hawapo wengi na wengi wapo na wana uwezo, kinachotakiwa ni kuonyesha support kufanya nao kazi ili watu wawaone,” alisema Steve.
0 comments:
Post a Comment