Yamoto Band pia wanaingia kwenye orodha ya wasanii wa Bongo ambao video zao zinaoneshwa na kituo cha MTV Base.
Video yao ‘Cheza Kwa Madoido’ iliyoongozwa na Godfather nchini Afrika Kusini, itaanza kuoneshwa leo Sept 2 saa 12 jioni na kituo cha MTV Base kupitia kipengele cha video mpya ‘Spanking New’.
Hii ndio itakuwa video ya kwanza kwa Yamoto Band kuoneshwa na kituo hicho.
0 comments:
Post a Comment