Blatter akataa kujiuzulu



Blatter akataa kujiuzulu
Rais wa shirikisho la kandada duniani FIFA Sepp Blatter, amekataa wito kutoka kwa baadhi ya wafadhili wakuu wa shirikisho hilo wa kumtaka ajiuzulu mara moja.

Katika kile kinachoonekana kuwa hatua za pamoja , makampuni ya Coca-Cola, McDonald's, Visa na Budweiser, yametaka Blatter kuondoka FIFA sasa , badala ya mwezi Februari jinsi ilivyopangwa.

Visa inasema kuwa hakuna mabadiliko yoyote ya maana yanaweza kufanyika katika kipindi cha usimamizi wa sasa.

Utawala nchini uswisi unamchunguza bwana Blatter kama sehemu ya uchunguzi wake kuhusu ufisadi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment