Wahamiaji 200 waingia kwa reli Ufaransa



Wahamiaji 200 waingia kwa reli Ufaransa
Zaidi ya wahamiaji 200 wamefanikiwa kuvunja vizuizi vya usalama kwenye reli inayounganisha Uingereza na Ufaransa na kusababishwa kusimamishwa kwa huduma.

Maafisa katika mji wa bandari wa Calais nchini Ufaransa, wanasema kuwa walikabiliwa na kile walichokitaja kuwa shambulizi lililopangwa.

Wahamiaji 200 waingia kwa reli Ufaransa

Wahamiaji 100 waliingia katika reli hiyo huku wengine wakifanikiwa kuifikia reli kabisa.

Kampuni ya Eurotunnel inasema kuwa wafanyikazi walishambuliwa na wahamiaji kwa mawe ambapo watu watatu walijeruhiwa.

Mamilioni ya pauni imetumiwa kuboresha usalama katika reli hiyo, ukiwemo ujenzi wa ua mpya na kuongezwa kwa walinzi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment