Costa amepigwa marufuku mechi tatu mara mbili mwaka huu, mara ya kwanza kwa kumkanyaga mchezaji wa Liverpool Emre Can na mara ya pili kwa kumsukuma difenda wa Arsenal Laurent Koscielny.
“Nimefika mbali hivi kutokana na jinsi ninavyocheza,” mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 ameambia wanahabari wa BBC wa Football Focus.
“Sitabadilisha hilo eti kwa sababu ya vile watu wanachukulia uchezaji wangu.” alisema hayo Diego Costa
Source: BBC
0 comments:
Post a Comment