Diamond aongoza orodha ya mastaa wanaoishi Afrika wenye followers wengi zaidi Instagram



Diamond Platnumz si tu msanii aliyechukua tuzo kubwa zaidi kuliko wasanii wote wa Afrika mwaka huu (MTV EMA – Best Worldwide Act: Africa/India), bali pia ndiye msanii anayeishi barani Afrika mwenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram kwa sasa.



Awali nafasi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na msanii wa Nigeria, Davido.

Hata hivyo orodha ya mastaa waliofikisha followers milioni moja imeongozwa na watanzania.

Hii ni orodha kamili kwa mujibu wa namba za December, 29.

1. Diamond Platnumz 1,502,578
2. Davido 1,498,823
3. Wizkid 1,362,760
4. Wema Sepetu 1,213,798
5. Millard Ayo 1,165,390
6. Don Jazzy 1,154,318
7. Jokate Mwegelo 1,098,848
8. Jacqueline Wolper 1,085,781
9. Zari the Bosslady 1,084,842
10. Vanessa Mdee 1,061,682


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment