Bosi wa Empire Mates Entertainment (E.M.E), Banky W amesaini mkataba mpya na kampuni ya Samsung baada ya ule wa kwanza kufikia mwishoni.

Baada ya kusaini mkataba huo, Banky W aliandika, “Grateful and happy for yet another year with my @samsungmobileng family!!! #Thankful #Godisgood #WeMove”
Banky W aliingia mkataba kwa mara ya kwanza na kampuni hiyo ya Samsung mwaka 2011.
0 comments:
Post a Comment