Harry Kane na Ranieri wapata tuzo ya mwezi Machi Ligi Kuu Uingereza





Mcheazaji Harry Kane wa Tottenham amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza mwezi Machi.
kane4

Mshambuliaji huyo wa Uingereza aliongoza kikosi chake katika kuwania taji kwa kufunga magoli matano katika mechi nne huku kikosi cha Mauricio Pochettino kikiendelea kuipa presha Leicester inayoongoza ligi.
Na kocha wa Leicester Claudio Ranieri nae amechaguliwa kuwa kocha bora wa Ligii Kuu Uingereza mwezi Machi

32F1A03200000578-3530616-The_Italian_won_manager_of_the_month_for_March_adding_to_the_gon-a-8_1460157989505


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment