Billnass azungumzia tuhuma ya kuwa TID anatumia madawa ya kulevya


Msanii wa muziki kutoka ‘label’ ya Radar Entertainment, Billnass amesema kuwa hajawahi kumuona TID akitumia Madawa ya Kulevya kama maneno yanavyoongelewa mitaani.


Akizungumza katika kipindi cha The Playlist cha Times Fm Jumamosi hii, rapa huyo ameshangazwa na maneno hayo ambayo amedai hajui yanatokea wapi.

“Sijui haya maneno yanatokea watu, ni vitu ambavyo watu wanatumia kwa siri sana ila mimi sijawahi kumuona TID akitumia, na tunasafiri kila kwenda sehemu kibao hata dalili za mtu anayetumia madawa ya kulevya sijawahi kuziona kwa TID. Sijui sijawahi kumuona kwa kweli”, alisema

Billnass kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya uitwao ‘Chafu Chozi’.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment