Q Chief atupia lawama kwa uongozi wake nakusema QS Entertainment inamchelewesha





Msanii wa Bongo Fleva Q Chief atupia lawama kwa uongozi wake kwa kushindwa kumsafirisha kwenda kufanya video nje ya nchi kama alivyoahidi mara ya mwisho alivyozungumza na Enewz.

Awali Star huyo wa bongo flava alishawahi kuiambia Enewz kwamba hana mpango wa kufanya kazi na wakina Hanscana yaani madirector wa bongo na plan zake ni kupanda ndege na kwenda kufanya video nje na madirector wengine kutokana na madirector wa Bongo kukosa ubunifu na kuwachana kuwa warudi shule wakasome kwanza.

Sasa lawama za Q Chief zimerudi kwa uongozi wake wa QS Entertainment kuwa kutokana na wingi wa wasanii ndiyo sababu ya yeye kukosa nafasi ya kutimiza mipango yake kama alivyotarajia.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment