Hassan Kessy asaini kuichezea Klabu ya Yanga kwa Miaka miwili



Beki wa kulia wa Simba SC, Hassan Ramadhani Kessy atimae ameasaini kuichezea Klabu ya Yanga kwa mkataba wa miaka miwili, Hii ni baada ya mkataba wake na Simba wa miaka miwili kumalizika.



Zoezi hilo lilifanyika juzi usiku mjini Dar es Salaam. Akiwa na Meneja wa Kessy, Tippo Athumani na katibu wa Yanga, Baraka Deusdedit Kessy ataanza kuitumikia Yanga kuanzia mwezi ujao.




Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment