Makonda amsimamisha kazi Afisa Utumishi Ilala



Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amemsimamisha kazi Afisa Utumishi wa wilaya ya Ilala baada ya kushindwa kujua wafanyakazi hewa 11 waliokuwepo kwenye wilaya hiyo.



Hatua hiyo imechukuliwa hii leo katika kikao chake na wakuu wa wilaya wakiwemo maafisa wote wa mkoa mzima.

Credit bongo5


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment