Yanga uso kwa uso na TP Mazembe kombe la shirikisho Afrika



Draw ya kupanga makundi mawili ya timu zitakazo cheza katika kuwania nafasi ya kufuzu hatua ya nusu fainali ya kombe la shirikisho Afrika imetoka ndiyo hii.



Timu ya Tanzania bara klabu ya Yanga ipo Group A itapambana na timu za TP Mazembe (Congo DR), MO Bejaia (Ageria) na Medeama (Ghana).

Kundi B litakuwa na timu za Etoile du sahel ya Tunisia, Kawkab Marrakech ya Morocco, FUS Rabat ya Morroco na Al Ahli ya Libya


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment