Picha: Diamond amkabidhi Paul Makonda msaada wa madawati 600


Diamond Platnumz Jumatatu hii amemkabidhi mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda msaada wa madawati 600 kwaajili ya shule za Dar.


Wasanii wote wa WCB wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda

Diamond aliambatana na wasanii wa label ya WCB pamoja na mameneja wake kukabidhi madawati hao kwenye ofisi ya Makonda jijini Dar.

Madawati hayo yataweza kusaidia wanafunzi 1800. Tazama picha zaidi.


Wasanii wa WCB walipokuwa wakiwasili kwenye ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam


Diamond Platnumz akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda














Credit Bongo5.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment