Samsung yatoa ripoti yake kuhusu sababu ya kulipuka kwa Galaxy Note 7


Kampuni ya Samsung imetoa taarifa yake baada ya kufanya uchunguzi juu ya sababu ya kulipuka kwa simu zake za Galaxy Note 7.



Taarifa hiyo imebaini kuwa betri za simu hizo ndio zilizokuwa chanzo cha kulipuka kutokana na kasoro zilizojitokeza kwenye utengenezaji wa betri hizo ambazo zilitengenezwa na mbili ambapo ilitokana mwanzo katika uchoraji wa muundo wa betri hizo pamoja na kasoro kwenye mfumo wa utengenezaji wa wake.

Ripoti hiyo imeongeza kuwa matatizo mengine yalitokana na betri hizo kuwa kubwa na hivyo kutokaa vizuri katika sehemu yake ya ndani ya simu. Simu hizo zilisitishwa kuuzwa mwezi Oktoba mwaka jana huku ikikadiriwa kuwa simu hizo tayari zilikuwa zimeuza kiasi cha dola bilioni 5.3 duniani kote.

Credit Bongo5

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment