Sergio Ramos atimiza ndoto yake hii akiwa Real Madrid


Mchezaji Sergio Ramos ambaye ni nahodha wa klabu ya Real Madrid ametimiza ndoto yake ya kufikisha mechi 500 akiwa na kikosi cha Real Madrid.



Ramos ambaye ana umri wa miaka 30, amefikisha mechi hizo baada ya Madrid kuitwanga Osasuna kwa mabao 3-1 katika mechi ya La Liga siku ya Jumamosi.

Beki huyo wa kati ambaye ni tegemeo la timu ya taifa ya Hispania na klabu yake ya Madrid.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment