Joh Makini na Davido hawajaamua nani atamiliki wimbo watakaofanya



Joh Makini amesema bado yupo kwenye mazungumzo na Davido ili kujua nani atakuwa mmiliki wa wimbo watakaofanya au kama utakuwa unamilikiwa na wote.




Rapper huyo amesema ikifika wakati ataweka wazi kila kinachoendelea kwenye kazi hiyo inayosubiriwa kwa hamu.

“Ni mapema zaidi kujadili wimbo utakuwa ni wa kwake au wa kwangu hadi kila kitu kitakapokamilika ramsi. Kwa sababu bado tupo kwenye mazungumzo ya kujadili ni wa kwake au wa kwangu au wa wote,” Joh Makini aliambia XXL ya Clouds FM.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment