Lil Wayne atishia kuwashtaki wanaouza mkanda wake wa ngono


Kuna mkanda wa ngono wa Lil Wayne unaouzwa mtaani na Lil Wayne ametishia kumpeleka mahakamani yoyote atakayeusambaza.



Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, mtu anayedaiwa kuwa na mkanda huo unaomuonesha Weezy akila uroda na wawili anataka kuuza kwa makampuni ya porn.

Wawakilishi wa Wayne wameuambia mtandao wa TMZ kuwa mkanda huo kweli upo lakini ulichukuliwa bila Weezy kuwa na taarifa na watachukua hatua za kisheria.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment