Akizungumza na Friday Night Live hivi karibuni, Kalama alisema yeye na mpenzi wake Bella wapo kwenye maandalizi ya kufunga pingu za maisha.
“Bella bado niko naye ni mchumba wangu na soon ndoa itafanyika. Tulikuwa hatufanyi kwaajili ya kiki, tupo real na tunapendana na sasa ametoka kunipitia,” alisema Kalama.
0 comments:
Post a Comment