Baada ya kuachia wimbo wa ‘Chafu Pozi’ hivi karibuni, Bill Nas ameanza kushoot video ya wimbo huo.
Bill Nas ametumia kampuni ya Kwetu Studio kuandaa video hiyo chini ya director wake Msafiri, kutokana picha alizopost director wa video hiyo zinaonyesha kuwa video hiyo inafanyika kwenye location ya nje ya Tanzania.
Picha za Bill Nas wakiwa location wanashoot video ya Chafu Pozi
0 comments:
Post a Comment