Tevez akaribia kuwafunika wachezaji wote duniani



Jumapili hii mchezaji wa klabu ya soka ya Bocca Junior ya Argentina, Carlos Tevez alionekana kuwaaga mashabiki wake wa timu hiyo kuonyesha kuwa safari yake ya kuelekea kucheza kwenye ligi kuu ya China imeshaiva.




Mchezaji huyo ambaye anatarajia kukamilisha usajili wake wa kuhamia kwenye klabu ya Shangahi Shenhua inashiriki ligi kuu ya nchini China hivi karibuni ambayo imetangaza kumlipa mshahara wa paundi laki sita ikiwa ni sawa na kiasi cha shilingi 1.8 bilioni kwa fedha za Tanzania.
Tevez atakuwa ndio mchezaji anayelipwa fedha nyingi duniani endapo dili hilo litakamilika na kuzidi dau aliloahidiwa kiungo wa Chelsea la kulipwa mshahara wa paundi laki nne kwa wiki na klabu ya Shanghai SIPG.














Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment