Pam D afiwa na baba yake mzazi


Msanii wa Bongo Fleva, Pam D aka Pam Daffa amefiwa na baba yake mzazi. Mzazi huyo alikuwa ni mmoja kati ya watu muhimu katika kipaji chake cha muziki kwa kuwa mzee huyo na yeye aliwahi kuwa msanii.



Kupitia mtandao wa Instagram, Pam D ameandika:


R.I.P Papaaa #my lovely father kipenz changu #Rafiki yangu Mkubwa ,mtani wangu Mkubwa, umeondoka umeniacha mwenyewe nilitamani vitu vingi uje uone toka kwa mwanao. #nani atanipigia gitaa tena papaa #maumivu uloniachia na pengo uliloniachia hakuna wa kuliziba. Umeondoka mapema mno papaa#Munguakuwekee mahali pema peponi.TAMBUA NAKUPENDA SANA, PAM LOVES YOU DAD #R.I.P Papaaa. Daaaah



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment