ZIARA YA RAIS OBAMA NCHINI KENYA

OBAMA ANATARAJIWA KUFUNGUA MKUTANO WA SITA WA KIMATAIFA KUHUSU UJASIRIAMALI KATIKA MAKAO MAKUU YA UMOJA WA MATAIFA MJINI NAIROBI.


10.00am:Msafara wa Rais Uhuru KenyattaMsafara wa magari wa rais Uhuru kenyatta ukiwa tayari katika eneo la Gigiri.
Msafara wa Rais Uhuru Kenyatta ukiwa tayari umewasili katika eneo la mkutano wa wajisiriamali unaotarajiwa kufunguliwa na raia wa marekani Barrack Obama

09.45am:Waandishi
Waandishi habariWaandishi
Waandishi wa habari wakijiandaa kuliangazia kongamano la kibiashara la wajasiriamali katika eneo la Gigiri jini Nairobi.Vifaa vya waandishi hao vimepekuliwa na maafisa wa usalama wa Marekani.
09.00am:Ndege NairobiNdege za kijeshi
Ndege za kijeshi za Marekani zimeanza kunguka katika anga ya jiji la Nairobi kuimarisha usalama.

08.30am:Barabara za Jijini Nairobi:barabara
Barabara nyingi za mji wa Nairobi zimeonekana kuwa bila watu na magari kufuatia kuwasili kwa rais Obama.Mapema leo maafisa wa polisi walionekana katika barabara zinazoelekea katika eneo la Gigiri ambapo rais Obama atafungua rasmi kongamano la kibiashara.

08.20am:Obama na familia yake
Sara Obama,Barrack Obama na Daktari Auma



Mama Sarah Obama,Rais Obama na dadaake Daktari Auma Obama wakijumuika katika chakula cha jioni katika hoteli moja jijini Nairobi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment