Wayne Rooney afikia rekodi ya Sir Bobby Charlton ya magoli 49

Mchezaji wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Manchester United Wayne Rooney alifunga goli la 49 kwa mkwaju wa penart katika ushindi wa 6-0 dhidi ya San Marino na kuifanya nchi hiyo kufudhu Euro 2016.

Roney

Mshambuliaji huyo kwa sasa yuko sawa katika ufungaji na mfungaji wa muda wote wa Uingereza Sir Bobby Charlton.
Rooney amesema kwa sasa lengo lake nikuipita rekodi hiyo ya gwiji huyo wa zamani wa Manchester United.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment