Lady Jaydee yupo jijini Nairobi, Kenya pamoja na meneja wake mpya, Seven Mosha.
Lady Jaydee na Seven Mosha
Wawili hao wamekuwa wakionekana pamoja tangu waanze kufanya kazi mwishoni mwa mwaka uliopita.
Wawili hao wamekuwa wakionekana pamoja tangu waanze kufanya kazi mwishoni mwa mwaka uliopita.
Nameless na Jaydee
Jaydee aliyekaa kimya kwa muda sasa huku akionesha kuwa kwenye mkakati mkubwa wa kurejea kwa kishindo, ameshare picha akiwa amekumbatiana studio na hitmaker wa ‘Nasinzia’ wakiwa studio hali inayoonesha kuwa huenda wakawa wamerekodi wimbo pamoja.
Jide pia ameshare picha nyingine Instagram akiwa na mpiga gitaa wa Sauti Sol studio na kuandika: Ukweli ni kwamba sitaki kurudi kuishi Bunda (Mara) Ndio maana nimeamkia kwa @itsmefancyfingers #BingwaWaKujihami #JideMjeruuu #GutsOverFear #2016KaziNiKazi.”
Jaydee aliyekaa kimya kwa muda sasa huku akionesha kuwa kwenye mkakati mkubwa wa kurejea kwa kishindo, ameshare picha akiwa amekumbatiana studio na hitmaker wa ‘Nasinzia’ wakiwa studio hali inayoonesha kuwa huenda wakawa wamerekodi wimbo pamoja.
Jide pia ameshare picha nyingine Instagram akiwa na mpiga gitaa wa Sauti Sol studio na kuandika: Ukweli ni kwamba sitaki kurudi kuishi Bunda (Mara) Ndio maana nimeamkia kwa @itsmefancyfingers #BingwaWaKujihami #JideMjeruuu #GutsOverFear #2016KaziNiKazi.”
0 comments:
Post a Comment